Hayati Mwinyi alikuwa akipokea matibabu ya saratani ya mapafu katika hospitali ya Mzena, mjini Dar es Salaam.
Mwili wa Hayati Mwinyi utasafirishwa visiwani Zanzibar, ambako utazikwa tarehe 2 Machi 2024.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.
Ali Hassan Mwinyi President Of Tanzania 11 November 1991 Date: 11-Nov-1991 Credit: Mary Evans/Allstar/David Gadd/MARY EVANS/AAP Image
SBS World News