Ramadan na Eid ni nini na husherehekewaje Australia

Bango la salamu za Ramadan

Bango la salamu za Ramadan Source: iStockphoto

Australia ni nchi yenye tamaduni nyingi na ina idadi kubwa yawa Islamu wengi.


Kuna uwezekano umekutana, kuwa rafiki au umefanya kazi pamoja na Muislamu kama una ishi ndani ya mji mkuu au jiji.


Waislamu nchini Australia na duniani kote wanapo shiriki katika mfungo wa Ramadan, ambao ni mwezi mzima wa ibada nasaumu, katika makala haya tuta chunguza umuhimu wakidini wa mwezi huu mtukufu.

Kuelewa nakuthamini dini na tamaduni ya mtu, ni muhimu kwa jamii yenye mshikamano.

Ramadan ni mwezi wa tisa wa kalenda ya jua yaki Islamu, ni wakati ambapo watu wazima ambao ni Waislamu wenye afya nzuri hufunga kuanzia alfajiri hadi alasiri.

Share