MCA Tricky "Nili ingia katika ucheshi kujibamba"Play08:16Get the SBS Audio appOther ways to listenApple PodcastsGoogle PodcastsSpotifyDownload (7.57MB) MCA Tricky ni mmoja wa wacheshi maarufu nchini Kenya, kazi zake zina endelea kuwavutia mashabiki wengi.Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, MCA Tricky alifunguka kuhusu alivyo ingia katika tasnia ya ucheshi. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.ShareLatest podcast episodesTaarifa ya Habari 24 Mei 2024Kikomo cha umri wa viza 'isiyo haki' kuwalazimisha wanafunzi wakimataifa wa PhD kuondoka AustraliaTaarifa ya Habari 23 Mei 2024Vita vya Australia vilikuwa vigani na kwa nini historia haivitambui?