Wana jumuiya wa Afrika wanao ishi mjini Sydney wamepata sababu yakufanya mtoko, ambao unajumuisha kila mwanachama wa familia.
Charlie Mdogo ni mkurugenzi wa tamasha ya Sawa Sawa, katika mahojiano na SBS Swahili alifunguka kuhusu motisha yakuanzisha tamasha hiyo pamoja na fursa anazo toa kwa wanajumuiya.